Umerudi gheto mida ya saa mbili usiku unaingia ndani ghafla unamuona nyoka kanyanyua shingo juu anachezesha mkia na ki-ulimi kinatokatoka nje....
kwa ujasili unaamua kuchukua fimbo ili umuue... lkn ulivyo jasili zaidi unaamua kufunga na mlango halafu funguo unarusha kitandani unajaribu kumdhuru lkn ghafla umeme unakatika....!!!πππ
hapo ndo utajua no body can stop leggae