Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Nilicheka sana kuona wale jirani zetu wanaojifanya wajuaji wajuaji wakati ni hewa walimimiwa 2 kavu kutoka Algeria.
Kilichonifurahisha ni kufungwa mbili kavu pamoja na kujifanya wajuaji wajuaji tu na kujiona wako juu kwa kila kitu.
Naipongeza sana timu ya Burundi na hata taifa stars wajitahidi tu kujitutumua wasiogope majina ya wachezaji wanaochezea ulaya maana hata sisi tunako kamoja tu ka- Mbwana Samatta.
Ila uongozi wa taifa stars waache kubania ile Pesa ya msosi maana vijana walionekana walikuwa hawajala sijui.
Yangu ni hayo tu asanteni waarabu kwa kuwatoa kamasi wakenya.
Kilichonifurahisha ni kufungwa mbili kavu pamoja na kujifanya wajuaji wajuaji tu na kujiona wako juu kwa kila kitu.
Naipongeza sana timu ya Burundi na hata taifa stars wajitahidi tu kujitutumua wasiogope majina ya wachezaji wanaochezea ulaya maana hata sisi tunako kamoja tu ka- Mbwana Samatta.
Ila uongozi wa taifa stars waache kubania ile Pesa ya msosi maana vijana walionekana walikuwa hawajala sijui.
Yangu ni hayo tu asanteni waarabu kwa kuwatoa kamasi wakenya.