Haahaaaahaaa

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Wanafunzi walipanda kwenye ndege ,muda mfupi kabla ya kuruka wakatangaziwa kuwa ndege hii ni ya kwanza kutengenezwa na mainjinia wa Tanzania na hii ndio safari yake ya kwanza, wanafunzi wote wakashuka akabaki mmoja tu , alipoulizwa kwanini hakushuka " Akajibu kama imeundwa na wa Tanzania wala sina wasi wasi hata kuwaka haitawaka hii*[emoji23]
Sependagi ujinga eti[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…