kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
mpumbavu yule,ananiboaga anavyoruka kama moranií ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸ Ronaldo ndoto zake zakukutana na messi tena kama zinazima
Ngoja tuone kama yatatokea maajabumpumbavu yule,ananiboaga anavyoruka kama morani
😂😂😂😂 Ronaldo ndoto zake zakukutana na messi tena kama zinazima
Misifa kwa herii....Kitaa kitapoa sasa.
mpumbavu yule,ananiboaga anavyoruka kama morani
Ajax watabaki kua juuu watabaki kileleni.......,..Damn mapendo yote kwa ajax[emoji171][emoji171][emoji171]
ET ooh! mimi juve wameninunua kwa ajili ya uefa! haya mshapgwa rudisheni goli mbili kama nyie wanaume!
juv 2 ajax 3 on agg.
juve anatakiwa apige goal2 hapa ndio apite.
mviziaji leo kapatikana,Alafu inakuja mijitu humu inamlinganisha na Messi...yani kuna viumbe wa ajabu humu.
Akakutane na mama ake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ronaldo ndoto zake zakukutana na messi tena kama zinazima
mviziaji leo kapatikana,
anajidai kocha! et nimekuja kuipa kombe la uefa juveí ½í¸í ½í¸í ½í¸mpira una wenyewe bwana...sasa yeye analazimisha umtii hata kama haumtaki!!! Si ulimbukeni tu!!!
anajidai kocha! et nimekuja kuipa kombe la uefa juve
Hayo pia ni maoni yako.Alafu inakuja mijitu humu inamlinganisha na Messi...yani kuna viumbe wa ajabu humu.
Hayo pia ni maoni yako.