appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Kama kichwa cha habar kinavyosema nazungumzia salam hii ndio salam bora na ya uungwana zaid kuliko zote tanzania salam zingine zimejaa ubaguz mkubwa
Nashukuru mungu salam hii inakua kwa kas watoto wadogp wanawasalimia wakubwa wao wakubwa wanawasalimia wadogo hakuna salam za kibaguz tena
JAman tuidumishe salam hii
Uingereza wana goodmorning
Ufaransa wana bonjour
Mwarabu ana salama lekooo
Kwa nin sisi tunabaguana kwenye salam salam ya shikamoo imekua kama adhabu ya kumdhalilisha mtu like amkia amkia ntakautaka makofi huna adabu eeeh
Nashukuru mungu salam hii inakua kwa kas watoto wadogp wanawasalimia wakubwa wao wakubwa wanawasalimia wadogo hakuna salam za kibaguz tena
JAman tuidumishe salam hii
Uingereza wana goodmorning
Ufaransa wana bonjour
Mwarabu ana salama lekooo
Kwa nin sisi tunabaguana kwenye salam salam ya shikamoo imekua kama adhabu ya kumdhalilisha mtu like amkia amkia ntakautaka makofi huna adabu eeeh