Habari hii ya BBC kwa viongozi wa Afrika imejaa maneno ya dharau, kebehi kisa viongozi wameenda kwa wingi China

Habari hii ya BBC kwa viongozi wa Afrika imejaa maneno ya dharau, kebehi kisa viongozi wameenda kwa wingi China

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Mkubwa wa taarifa za kinakuhusu miradi ya makubaliano na kukosekana na nyenzo za kufuatilia na kupima maendeleo ya ahadi zinazotolewa katika mikutano hii.

Wachambuzi wengi wanaonya kwamba usiri huu unaondoa shauku ya vitu mahsusi vya kufuatilia katika mkutano huo kiasi kwamba mijadala mingi huishia katika kuhisi tu kitakachojili huku makisio mengi yakijirudia kutoka mkutano mmoja hadi mwingine wa serikali yake.

Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Nyumbani barani Afrika, wengi wanakosoa msululu wa mikutano ya aina hii, ambapo viongozi wa bara zima la Afrika wanaitwa nje ya nchi kukutana na kiongozi mmoja wa nchi wenyeji.

Mbali na FOCAC kuna takribani mikutano mingine 10 ya nchi kubwa kama Marekani na zingine ndogo kama Italy zinazowakusanya viongozi wa Afrika nyumbani kwao katika mikutano iliyopewa jina la Africa+1

“Mtu anaweza kusema kwamba Afrika inaweza kukosa fursa za kiuchumi na maendeleo ikiwa itakwepa mikutano hii. Lakini badala ya kushiriki kwenye mikutano ya 1+ Afrika au kuiepuka kabisa, nchi za Afrika zinapaswa kutumia majukwaa yaliyopo kama Umoja wa Afrika au mashirika ya kieneo kama Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) au Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuandaa nchi zinazotaka kufanya mikutano na mataifa ya Afrika.

Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia (ASEAN) mara kwa mara huandaa mikutano ya ASEAN + 3 na ASEAN + 6 ambayo inaweza kutoa maarifa muhimu” ameandika Abubakar Abubakar Usman, mhadhiri Universiti Malaya.

Wakati akiwa ndio kaingia tu madarakani, Ruto aliwaambia wahudhuriaji katika warsha iliyoandaliwa na Mo Ibrahim Foundation kwamba yeye na baadhi ya viongozi wa Afrika wameapa kutokuhudhuria mikutano kama hii ya FOCAC

"Sisi (viongozi fulani wa Afrika) tumeamua kwamba si busara kwenda kukaa mbele ya mheshimiwa mmoja kutoka sehemu nyingine... na wakati mwingine tunatendewa vibaya. Tunapakiwa kwenye mabasi kama watoto wa shule."

Hata hivyo Ruto tayari amewasili Beijing akiambatana na mke wake, Waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Raila Odinga na viongozi wengine waandamizi
 
Mkubwa wa taarifa za kinakuhusu miradi ya makubaliano na kukosekana na nyenzo za kufuatilia na kupima maendeleo ya ahadi zinazotolewa katika mikutano hii.

Wachambuzi wengi wanaonya kwamba usiri huu unaondoa shauku ya vitu mahsusi vya kufuatilia katika mkutano huo kiasi kwamba mijadala mingi huishia katika kuhisi tu kitakachojili huku makisio mengi yakijirudia kutoka mkutano mmoja hadi mwingine wa serikali yake.

Getty Images

Chanzo cha picha,Getty Images

Nyumbani barani Afrika, wengi wanakosoa msululu wa mikutano ya aina hii, ambapo viongozi wa bara zima la Afrika wanaitwa nje ya nchi kukutana na kiongozi mmoja wa nchi wenyeji.

Mbali na FOCAC kuna takribani mikutano mingine 10 ya nchi kubwa kama Marekani na zingine ndogo kama Italy zinazowakusanya viongozi wa Afrika nyumbani kwao katika mikutano iliyopewa jina la Africa+1

“Mtu anaweza kusema kwamba Afrika inaweza kukosa fursa za kiuchumi na maendeleo ikiwa itakwepa mikutano hii. Lakini badala ya kushiriki kwenye mikutano ya 1+ Afrika au kuiepuka kabisa, nchi za Afrika zinapaswa kutumia majukwaa yaliyopo kama Umoja wa Afrika au mashirika ya kieneo kama Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) au Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuandaa nchi zinazotaka kufanya mikutano na mataifa ya Afrika.

Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia (ASEAN) mara kwa mara huandaa mikutano ya ASEAN + 3 na ASEAN + 6 ambayo inaweza kutoa maarifa muhimu” ameandika Abubakar Abubakar Usman, mhadhiri Universiti Malaya.

Wakati akiwa ndio kaingia tu madarakani, Ruto aliwaambia wahudhuriaji katika warsha iliyoandaliwa na Mo Ibrahim Foundation kwamba yeye na baadhi ya viongozi wa Afrika wameapa kutokuhudhuria mikutano kama hii ya FOCAC

"Sisi (viongozi fulani wa Afrika) tumeamua kwamba si busara kwenda kukaa mbele ya mheshimiwa mmoja kutoka sehemu nyingine... na wakati mwingine tunatendewa vibaya. Tunapakiwa kwenye mabasi kama watoto wa shule."

Hata hivyo Ruto tayari amewasili Beijing akiambatana na mke wake, Waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Raila Odinga na viongozi wengine waandamizi
Kuna ukweli mchungu sana kwenye suala hili.
Endapo kama kweli mikutano hiyo Ina lengo la kuboresha maisha ya watu wa bara la Afrika, kwa nini mikutano Kama hiyo isiwe inafanyikia ndani ya bara la Afrika na badala yake imekuwa ikifanyika nje ya bara la Afrika? Why?
 
Mkubwa wa taarifa za kinakuhusu miradi ya makubaliano na kukosekana na nyenzo za kufuatilia na kupima maendeleo ya ahadi zinazotolewa katika mikutano hii.

Wachambuzi wengi wanaonya kwamba usiri huu unaondoa shauku ya vitu mahsusi vya kufuatilia katika mkutano huo kiasi kwamba mijadala mingi huishia katika kuhisi tu kitakachojili huku makisio mengi yakijirudia kutoka mkutano mmoja hadi mwingine wa serikali yake.

Getty Images

Chanzo cha picha,Getty Images

Nyumbani barani Afrika, wengi wanakosoa msululu wa mikutano ya aina hii, ambapo viongozi wa bara zima la Afrika wanaitwa nje ya nchi kukutana na kiongozi mmoja wa nchi wenyeji.

Mbali na FOCAC kuna takribani mikutano mingine 10 ya nchi kubwa kama Marekani na zingine ndogo kama Italy zinazowakusanya viongozi wa Afrika nyumbani kwao katika mikutano iliyopewa jina la Africa+1

“Mtu anaweza kusema kwamba Afrika inaweza kukosa fursa za kiuchumi na maendeleo ikiwa itakwepa mikutano hii. Lakini badala ya kushiriki kwenye mikutano ya 1+ Afrika au kuiepuka kabisa, nchi za Afrika zinapaswa kutumia majukwaa yaliyopo kama Umoja wa Afrika au mashirika ya kieneo kama Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) au Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuandaa nchi zinazotaka kufanya mikutano na mataifa ya Afrika.

Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia (ASEAN) mara kwa mara huandaa mikutano ya ASEAN + 3 na ASEAN + 6 ambayo inaweza kutoa maarifa muhimu” ameandika Abubakar Abubakar Usman, mhadhiri Universiti Malaya.

Wakati akiwa ndio kaingia tu madarakani, Ruto aliwaambia wahudhuriaji katika warsha iliyoandaliwa na Mo Ibrahim Foundation kwamba yeye na baadhi ya viongozi wa Afrika wameapa kutokuhudhuria mikutano kama hii ya FOCAC

"Sisi (viongozi fulani wa Afrika) tumeamua kwamba si busara kwenda kukaa mbele ya mheshimiwa mmoja kutoka sehemu nyingine... na wakati mwingine tunatendewa vibaya. Tunapakiwa kwenye mabasi kama watoto wa shule."

Hata hivyo Ruto tayari amewasili Beijing akiambatana na mke wake, Waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Raila Odinga na viongozi wengine waandamizi
waafrika wajinga. Mnakusanywa kama dagaa kwenda china, STUPID
 
The entire Africa is on parole.

Everyone MUST understand the rules of prisoners released on a condition.

We are the monkeys of the world.

The rest of the world is 100 years ahead while we are here stealing from our homeland
 
Ruto ndo aliepibga kuwa summoned by the developed countries, alisema hatakubali kwenda, Africa iwakilishwe na AU....yet, ndo amekuwa wa kwanza
Hapo ndio za kuambiwa changanya na zako financial bill iligomewa na Gen Z inabidi awahi kwa ma don wampe hela ya ku run state
 
BBC ni ya waingereza.

Waingereza ni mabeberu( imperialist)wazungu madhalimu namba moja kushinda wazungu wengine wote duniani-Proven fact.

Yaani hawa jamaa wakati wote huwa wanafikiria jinsi gani ya kuja tena na kuitawala Afrika tu, itoshe, wanachofanya ni muendelezo wa propaganda zao za kuchonganisha kadamnasi.

Sasa hata kama Waafrika walikuwa wengi huko, wao kinachowauma ni nini?
(Wivu na Udhalimu tu😌)
 
Back
Top Bottom