Habari..!I ntroducing my self.

Habari..!I ntroducing my self.

mc1886

Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
33
Reaction score
0
Natumai wote mko powa, mimi ni mgeni hapa, nimekuwa nikifatilia post mbali mbali kwa muda mrefu sana na kujifunza pia kutoka kwa wadau juu ya mambo tofauti tofauti. Jana nikajiunga rasmi. Niliintroduce topic, watu wamechangia na nimepata mwanga juu ya jambo lililokuwa likiniumiza kichwa. Asanteni Kwa kunikaribisha.
 
Natumai wote mko powa, mimi ni mgeni hapa, nimekuwa nikifatilia post mbali mbali kwa muda mrefu sana na kujifunza pia kutoka kwa wadau juu ya mambo tofauti tofauti. Jana nikajiunga rasmi. Niliintroduce topic, watu wamechangia na nimepata mwanga juu ya jambo lililokuwa likiniumiza kichwa. Asanteni Kwa kunikaribisha.
Karibu sana jamvini. Uliposti katika jukwaa gani topiki yako?
 
Karibu sana jamvini. Uliposti katika jukwaa gani topiki yako?

Asante sana mkuu! Nilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko issues zinazohusiana na maswala ya mafao ya NSSF. THANKS AGAIN.
 
Back
Top Bottom