kwa kweli tumekuchoka.Huna shughuli nyingine? Kutwa kucha JF
Kazi za jikoni ni kupika, kwa hiyo hicho ndicho ulichopika leo!
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais
unapenda machalii wa arusha na kili uwezi ingia jf bila kuwataja.karibu 1day bana tupo na mh lema na mzee ndesapesaWajikoni vipi watu Arusha na Kilimanjaro:
hapo yupo kazini we unataka afanye kazi gan tenakwa kweli tumekuchoka.Huna shughuli nyingine? Kutwa kucha JF
Ritz nakushauri utafute kazi ya kufanya kwani kushinda humu jf kila siku kuposti utumbo haitakusaidia kitu, utakufa maskini jobless wewe, tena ungekuwa na akili usingeshabikia magamba kwan huna unachopata huko zaid ya kujipendekezaWajikoni vipi zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Kilimanjaro, bado zinaendelea kusomba watu!
Na ni nani atakaelipa gharama na malazi pamoja na posho kwa vijana zaidi ya 600? Wajikoni tuletee Updates:
Kazi za jikoni ni kupika, kwa hiyo hicho ndicho ulichopika leo!
amepika masaburi yako!!
akili ndogo hizi. siyo lazima uchangie.
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais
Wajikoni vipi zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Kilimanjaro, bado zinaendelea kusomba watu!
Na ni nani atakaelipa gharama na malazi pamoja na posho kwa vijana zaidi ya 600? Wajikoni tuletee Updates:
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais
Ritz nakushauri utafute kazi ya kufanya kwani kushinda humu jf kila siku kuposti utumbo haitakusaidia kitu, utakufa maskini jobless wewe, tena ungekuwa na akili usingeshabikia magamba kwan huna unachopata huko zaid ya kujipendekeza