Habari kwa Picha

Hata pichani huyu dada sio wa kuishi na police.
 
Mchungaji gwajima ni mhanga wa tukio na sii mtuhumiwa kama watu wanavyodhani
 

Attachments

  • FB_IMG_1557666974579.jpg
    36.9 KB · Views: 45
Mchungaji James Ng’ang’a awamwagia matusi maaskofu , awataka wamuheshimu mke wake, lasivyo atawatimua wote nchini Kenya | _ kanisa la Neno Evangelist Ministry amegonga vichwa vya habari kwa mara nyengine tena baada ya kutishia kufunga matawi ya kanisa lake la Neno Evangelism akidai kwamba maaskofu hawamuheshimu mke wake. Katika kanda ya video iliosambaa katika vyombo vya habari , anaonekana akiwakaripia maaskofu kwamba atawafurumusha wote iwapo hawataheshimu onyo lake akidai kuwa matawi hayo yamekuwa vibanda. ”Wakati huu nitawaonyesha uwezo wangu… mwanamke yeyote ambaye hatamuheshimu mke wangu ….mulinipata hapa na wake zenu, mumejitajirisha kupitia juhudi zangu” . ”Wajinga nyie…wajeuri…nilikuwa nikihubiri katika mkokoteni , naapa mbele ya Mungu nitawaonyesha Ng’ang’a ni nani….”. Kwa mujibu wa BBC. Mchungaji huyo anaonekana akiwaambia kwamba ni kinyume kwa wao kujigamba kuhusu utajiri waliojipatia kutoka katika kanisa lake na bado hawamuheshimu. ”Nataka kuwaambia nyinyi maaskofu, iwapo hamutamuheshimu mke wanngu nitawafurumusha katika kanisa langu. sitaki kujua wewe ni nani”, alisema mchungaji huyo. Ng’nga anasema kuwa amefikisha umri ambao anahitaji kuheshimika na maaskofu wote. Ninapo kohoa lazima mutii, alisema. Mchungaji huyo alisema kuwa anakabiliwa na changamoto kwa sababu shetani anataka kuliangusha kanisa lake. ”Shetani anakabiliana nami kwa sababu anataka kuniangusha, hakuna kitu munachoweza kuniambia….Mimi ni Neno na ndio maana ninapigwa…. Sitawaruhusu nyinyi na wake zenu kunipatia msongo wa mawazo zaidi”,alisema. ”Iwapo munataka kujiita maaskofu, munahitaji kufikiria kule mulikotoka, ni vipi munajigamba mbele yangu na mulikuja kwangu na umaskini…nitawafukuza nyie nyote… takataka”, aliendelea. Amesema kuwa atayafunga matawi yote na kusalia na makao makuu pekee. Ng’ang’a aliwataja maaskofu wake kuwa watu wasio na maana, wajinga na wasiomuheshimu kama mtu aliyewasaidia. ”Ni lazima waniheshimu la sivyo nitaelekea kuvifunga mimi mwenyewe vibanda vyote nibakie na kanisa kubwa lililopo jijini Nairobi. Mimi ndio mwanzilishi wa Neno”, alisema huku akipongezwa na wafuasi wake
 
Maajabu ya Mwenyezi Mungu ndani ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, mito miwili inapokutana na kuwa mto mmoja bila maji yake kuchanganyikana. Mto KASAI na mto MAYINDOMBE.
 
FAHAMU: Expire date iliyo kwenye chupa ya maji ni tarehe ya mwisho wa matumizi ya chupa sio maji. Ndio, unatakiwa kuzingatia sababu chupa inapofikia ukomo wa matumizi inaweza kutoa kemikali kwenye maji, Kemikali ambayo inaweza kukuathiri afya yako.‬
 
Mwanaume mmoja nchini Kenya amejisalimisha kituo cha polisi akiwa hana nguo baada ya kukimbia kutoka kwenye fumanizi nyumbani kwa mke wa Mwanajeshi Jijini Nairobi. Imeelezwa kuwa askari alirudi ghafla nyumbani bila taarifa na kumkuta mkewe na mwanaume huyo wakiwa ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…