habari ! kwa wale wataalamu wa maswala ya bitcoin

habari ! kwa wale wataalamu wa maswala ya bitcoin

ALEXJP

New Member
Joined
Sep 8, 2018
Posts
2
Reaction score
1
uzi huu nautoa makusudi ili niweze kupata utaalamu au uzoefu walionao wataalamu wa bitcoin , nimejaribu kumine bitcoin toka october na nikafikisha kiwango ambacho nakihitaji ila imeshindikana kutoa hizo bitcoin kwasababu wanahitaji 0.0011478 BTC kutoka kwenye wallet yangu na mimi sina hizo bitcoin kwenye wallet yangu, nimejaribu kuomba bitcoin kadhaa kutoka kwa watalamu wa BTC miner imeshindikana ,nikapata wazo kwamba kwa yeyote atakaekua tayari kunitumia bitcoin hizo basi atapata mara mbili ya coin alizonitumoia baada ya kupokea coin zangu,ila kabla ya yote nifanyeje ili kupata coin zangu naombeni watalamu mnisaidie.
 
pole sana mimi ni Developer naishi hapa Berlin nimekuwa nikijihusisha na Bitcoin tangu 2014 kwa uzoefu wangu inatakiwa ujue umetumia technology gani ku mine hizo coins, kwani matapeli ni wengi na pia mala nyingi utaambiwa uweke btc nyingi au uwaalike watu ili upewe btc zako huo ni utapeli. nitumie jina au program ambayo umejiunga nayo. pole sana
 
pole sana mimi ni Developer naishi hapa Berlin nimekuwa nikijihusisha na Bitcoin tangu 2014 kwa uzoefu wangu inatakiwa ujue umetumia technology gani ku mine hizo coins, kwani matapeli ni wengi na pia mala nyingi utaambiwa uweke btc nyingi au uwaalike watu ili upewe btc zako huo ni utapeli. nitumie jina au program ambayo umejiunga nayo. pole sana
Umekuwa unatumia website gani kufanya mining?
 
Back
Top Bottom