ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahaha ngoja nikimbilie kwanza kule kwa MAKAPUKU
NITAFUTE KICK [emoji2] [emoji2] [emoji2]
unashangaa nini[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sure. Ukweli ni kwamba hii username ni mpya ila before nilikuwa nayo ila imegoma ku log in eti password nazoweka ni wrong. Nimeamua Kuja na hii mpya..Unaonekana mzoefu lakini
Aaah kweli kabisaaa. Usijali namimi hii acc yangu ni ya3 asee nishakutana na huo utata ni ikawa utata zaidi katika kuzirudisha sasa nisijue ni elimu ndogo nilio nayo ama mtandao huwa una misbehaveSure. Ukweli ni kwamba hii username ni mpya ila before nilikuwa nayo ila imegoma ku log in eti password nazoweka ni wrong. Nimeamua Kuja na hii mpya..
atakuwa alipigwa ban kafungua acc nyingineUnaonekana mzoefu lakini
We NI member toka 2011 naunga mkono hoja unaweza ukawa NI babu yangu kwani 2011 Nilikuwa kidato Cha tatuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
We NI member toka 2011 naunga mkono hoja unaweza ukawa NI babu yangu kwani 2011 Nilikuwa kidato Cha tatu