NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Umeongea kwa uchungu sana kunywa hata maji upoze machungu.Sasa nani alisema mtashindwa? Mnaanzaje kushindwa sasa kwa hao mamluki wenu
Aibu yaoWanaanzisha juzi kwa fujo hao, hivi ni kweli wanategemea sisi kuliachia Kombe hili..duu
Nipe biaaa nyie Yanga toka jana mnataka ninywe maji...Umeongea kwa uchungu sana kunywa hata maji upoze machungu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaha..Aibu yetu, Aibu yao…AIBU YAOO WENYEWEEEE
Mdada mzuri unashabikia timu ya ajabu [emoji8]Nipe biaaa nyie Yanga toka jana mnataka ninywe maji...
Yani mtani huwezi nambia lolote lile kwa umri huu..Mdada mzuri unashabikia timu ya ajabu [emoji8]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ona Sasa Kila siku unapata presha [emoji41]Yani mtani huwezi nambia lolote lile kwa umri huu..
Simba ina mashabiki mbumbumbu sana. Yaani wanateseka sana Yanga ikishinda.Kuna kikundi Cha wahuni (waliokufa kiume) walizani kuwa yanga itadondosha pointi kizembe mwisho wa siku matumaini yao yamegeuka imekua ndivyo sivyo.
Prof wa mpira Nabbi kaingiza full mkoko kikosi Cha ushindi na ubingwa makolo wasahau.
Yanga is unstoppable.
Wanasema mechi ni fixedSimba ina mashabiki mbumbumbu sana. Yaani wanateseka sana Yanga ikishinda.
Hawaataacha kuongeaWatakuja huku na maneno mengi mengi.
Kwa jinsi unavyoipambania simba hapa jukwaani aisee wakupe maua yako dada.Yani mtani huwezi nambia lolote lile kwa umri huu..
Wanadai ni ndugu wamecheza pamoja.