mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mlisema hakuna watu wengi kwakuwa hakupendwa
Walishachukua tahadhari zote na hayo yalitokea, au unasemaje hapo ww na ⌨️ chumbani!Hivi unaona treni inakuja halafu unalala kwenye reli halafu useme siku ilikuwa imefika! Kama ni hivyo huwa tunachukua tahadhari za nini sasa? Watu si tungekuwa tunapika hata mimea yenye sumu tu kwa kuamini kama imefika imefika, kwa nini kwenye boti kuna life jackets? Kwa nini kuna alama za batabarani? Kwa nini waendesha pikipiki wanatakiwa kuvaa helmet?
Msipende kuongea ujinga ili ku justify mambo ya kipuuzi. As long as uko hai, ni lazima uchukue tahadhari.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kisukuma mkuu
Bado kuna majeruhi...tuwaombee nafuuLakini afadhali wamekuwa wa wazi. Tulitegemea wangeficha au kudanganya. Hata kama wamedownplay lakini wamekuwa wa wazi. Au mkuu Mshana umedukua taarifa ya siri?
Uwazi kama huu ndiyo unafanya tusirudie makosa na kusolve mambo.
Kwenda na watoto wadogo kwenye msongamano ndo kuchukua tahadhari? Najua kwa baadhi ya watu hicho kilichotokea watakitumia kwa manufaa binafsi ya kisiasa. Inasikitisha sana.Walishachukua tahadhari zote na hayo yalitokea, au unasemaje hapo ww na ⌨️ chumbani!
Kumbuka hakuna mtoto mdogo mpaka sasa ameripotiwa kufa! Hawa watoto ndio kina Magufuli wa kesho, inapowezekana si vibaya kuwaruhusu waende kumuaga!Kwenda na watoto wadogo kwenye msongamano ndo kuchukua tahadhari? Najua kwa baadhi ya watu hicho kilichotokea watakitumia kwa manufaa binafsi ya kisiasa. Inasikitisha sana.
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.[3/21, 19:04] Rco Temeke.: AFANDE DCI,N/DCI,ZCO ,RPC,OP.OFFICER.
TUKIO KUBWA LILILORIPOTIWA NI TAARIFA YA VIFO VIKIVYOTOKEA UHURU STADIUM-CHA/RB/2267/2021 NA KUSABABISHA MAJERUHI KADHAA.
AIDHA MAOMBOLEZO YA HAYATI DR.JOHN POMBE MAGUFULI NA SHUGHULI ZA KUAGA MWILI ZIMEKAMILIKA KATIKA UWANJA WA UHURU . MWILI ULIONDOLEWA NA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE WA JULIAS NYERERE TA YARI KWA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA .WATU NI WENGI LAKINI PAMOJA NA ULINZI NA USALAMA KUIIMARISHWA KILA KONA ,NA VYOMBO VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA,BADO KUMEJITOKEZA VIFO VILIVYOSABABISHWA NA MSONGAMANO NA KUKANYAGANA .WAMEKUFA WATU 45, KATI YAO WANAUME 11,AMBAPO MIONGONI MWAO KUNA WATU WAZIMA 6 NA WATOTO 5 .AIDHA WANAWAKE NI 34 AMBAPO KATI YAO WATOTO 2 NA WATU WAZIMA 32 .MAJERUHI KWA KUKANYAGANA NA KUKANDAMIZANA NA WANAENDELEA NA MATIBABU NI 32 AMBAPO 6 WAMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI .TAARIFA KWA KIREFU MBIONI NA UCHUNGUZI ZAIDI UNAENDELEA.
NAOMBA KUWASILISHA .
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: Afande wenzetu wa Dodoma,Zanzibar, Mwanza na Geita wachukue hadhari mapema wenye mapenzi kwa hayati ni weengiiii sana na wanalazimisha kuuaga mwili wote .Wajadiliane mbinu bora ya kudhibiti umati kwenye msiba huu mzito kwa nchi .TOKA RCO TEMEKE.
Umsamehe amechanganyikiwa. Anadhani Samia alitoa taarifa kwa kusoma cheti cha kifo.Kifo kilivyotangazwa death certificate iliambatanishwa ikiwa inasomeka kile kilichotangazwa kwamba ndio kilimuondoa?
Au unajitoa tu ufahamu...?
Hasa Mimi All - Rounder Ndugu nilitukanwa na Kudhihakiwa sana pale nilipokuja na Uzi wangu hapa JF wa Kutahadharisha, Kuonya na Kushauri kuhusu hili.Tulionya mapema tukaonekana haters
Wewe ni mwongo na unatoa taarifa za uzushi za kupikwa. Itakuwaje kwanza watu wengi waliokufa wawe ni jamii amnayo unaijua?Salaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam.
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks.
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Mashuhuda wengine wamesema;
"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"
"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"
"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.
Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."
"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?[emoji2377][emoji2305][emoji2305]"
"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
View attachment 1731219
Dah...........marehemu halaumiwi.So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Salamu za pole kwa waliokumbwa na majanga haya.Lakini najiuliza, kulikuwa na ulazima gani wa mama mjamzito na watoto wawili kwenda nao kuaga.So sadSalaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam.
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks.
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Mashuhuda wengine wamesema;
"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"
"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"
"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.
Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."
"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?[emoji2377][emoji2305][emoji2305]"
"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
View attachment 1731383
Hahahaaaaaa. Oy, pamenichekesha sana uliposema"anagombea maiti aliyokuwa anaficha maradhi yake".Jamaa lina roho mbaya na kikatili katili sana. Ukimsoma hapo analalamika why taarifa za waliokufa au kuumizwa zitangazwe? Anaamini ktk usiri ili aje awalaumu wanyetishaji huku akigombea maiti ambayo alificha maradhi yake! Yehodaya Atakuwa Madelu huyu siyo bure.