ANEMONE888
New Member
- Mar 15, 2020
- 4
- 6
Sawa! Uwe na wakati mwema.Nina Furaha kuwepo humu leo.
Asante sana.Sawa! Uwe na wakati mwema.
karibu sanNina Furaha kuwepo humu leo.
Nina Furaha kuwepo humu leo.
Ujue pia kuna wakat utalia kuwepoNina Furaha kuwepo humu leo.
Mbona unamtisha mgeni sasa, asije kuogopa bureUjue pia kuna wakat utalia kuwepo
Hapa
stidy
Chai na chapati vipo tayari hapa kwa ajili ya mgeniMpikie mgeni chai
stidy
Kongole kongole haya andaa mihogoChai na chapati vipo tayari hapa kwa ajili ya mgeni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16] lazma ajue kuna 1 na 2Mbona unamtisha mgeni sasa, asije kuogopa bure
Hahahaa wazee wa kula tunda kimasihara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16] lazma ajue kuna 1 na 2
Kule MMU
stidy
Kama nyumbani hakukaliki?Karibu, jiskie uko nyumbani
ondokaKama nyumbani hakukaliki?
Ha haaaaaondoka
Unaenda kwa jiraniKama nyumbani hakukaliki?