Habari muhimu kuhusu mgomo wa wanafunzi wote wa vyuo vikuu tanzania

Habari muhimu kuhusu mgomo wa wanafunzi wote wa vyuo vikuu tanzania

Joined
Apr 22, 2011
Posts
7
Reaction score
3
Mimi ni MTANZANIA niliyefanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) mwaka juzi kwa bahati nzuri nimefanikiwa kupata mkopo 100% ni kweli fedha imeongezeka lakini haitakuwa vizuri mimi niongezewe na wengine wakose kabisa haikuwa dhamira yetu.Sisi ndiyo tumesababisha wadogo zetu wa mwaka wa kwanza kukosa kabisa mikopo wakati serikali yetu inafedha nyingi tu za kutusomesha wote,sasa tuamueni moja tuwasaidie wadogo zetu ili nao waweze kupata elimu,ebu fikiria zaidi ya wanafunzi 1000 wamekosa mikopo wengine tunaosoma nao wanarudi nyumbani kwa sababu hawana fedha za kujikimu..Tuacheni unafiki, kuna watu hawana mikopo jaman isiwe kigezo cha kuongezewa sisi hela ndio inatuvunja nguvu ya kudai haki za wengine,isije ikathibitisha kauli kuwa "mwenye nacho anaongezewa asiye nacho anajimwa"kwel hata ALAH anakataa.Tusije tukaonekana ni WANAFIKI mbele ya jamii na ahera pia kisa tumeongezewa bumu kumbukeni hata wao wanatutega kwa hili.SASA tuungane vyuo vyote TANZANIA kupinga hili swala kwa sababu kila chuo kuna watu hawakupata mikopo,UDSM wameanza,tuungane jamani ili hata alah asituone wanafiki pia kuongezeka kwa bumu isiwe sababu ya kutowasaidia wenzetu.SISI NDIO VIONGOZI WA NCHI YETU.Nasisitiza kuanzia jumatatu tarehe 15/11/2011 vyuo vyote TANZANIA tuungane kupinga hili swala kwa kutoingia darasani.Kila mtu anaongozwa na nafsi yake pamoja na mungu mmoja.
 
Ni kweli umenena mkuu tuanze mandamano tu kudai haki zetu za msingi mana serikali hi dharimu ya CCM imezidi uonezi.
 
"sasa wewe utakuwa wapi wakati sisi tunapigwa mabomu kaka " wanauliza wadogo zako
 
Labda vyuo vingine lakin sio udom,udom wenzao wamefukuzwa wapo nyumbani had sasa,wao wamekaa kimya wanaendelea na masomo wakat wenzao hawajui hatma yao.
 
Mgomo mkubwa kama huo inabidi tahiliso(umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu) wapewe taarifa na hayo mambo uliyozungumza ni muhimu cha msingi ongea na uongozi wa chuo chenu wakupe contacts za rais wa tahiliso ili umpe mchakato wako otherwise sidhani hyo tartehe 15 watagoma
 
Nyie c ndo mnaomzomeaga rais...kuleni kelele zenu sasa!Na hatushindwi kuwatimua wote..muanze tena application hatuna shda sisi...wasom wa cku hz ovyoo kabisa,,,yoo
 
Wazo zur ni kuorganise 2 mana mtu anapata chuo mkopo hakuna alaf tunaona kila wizara inafanya maadhamisho ya miaka 50. Kama vip katibu mkuu wizara ya elim nae aandike barua kwa wizara zote na taasis wampatie pesa hawape wanafunz mkopo.
 
Nyie c ndo mnaomzomeaga rais...kuleni kelele zenu sasa!Na hatushindwi kuwatimua wote..muanze tena application hatuna shda sisi...wasom wa cku hz ovyoo kabisa,,,yoo
soma a, b,c, d,e,f,g good umeweza kesho nitaendelea kukufundisha h,i,j,k ukiweza utaanza darasa la kwanza mwakani
 
Labda vyuo vingine lakin sio udom,udom wenzao wamefukuzwa wapo nyumbani had sasa,wao wamekaa kimya wanaendelea na masomo wakat wenzao hawajui hatma yao.

Kati ya vyuo ambavyo kuna mazezeta wengi ni UDOM maana nilitegemea wingi wa wao ungewafanya watoe shinikizo juu ya matatizo ya wanafanzi wenzao warudi yamekaa kama mazezeta alafu cha kushangaza nusu yao kati ya wanafunzi wenye mkopo hawakupewa hadi muda huu na haijulikani watapewa lini.kingine ni kuwa yameongezewa bei ya chakula kwa asilimia 50 eti kwa ajili ya compasation za inflation ya asilimia 16.7.ndio maana watu wengi wanawaita Chuo cha vilaza wa Tanzania.BIG UP my camp UDSM kwa kuwa mkombozi wa kila jambo linalohusu maslahi ya wanachuo nchini ikiwemo ongezeko la feza za boom. Na maliza kwa kusema "WATAGOMA WOTE ILA SIO HAO MAZEZETA WA UDOM".
 
Fanyeni linalowezekana kupata majibu ya maswali yenu!!
 
Kati ya vyuo ambavyo kuna mazezeta wengi ni UDOM maana nilitegemea wingi wa wao ungewafanya watoe shinikizo juu ya matatizo ya wanafanzi wenzao warudi yamekaa kama mazezeta alafu cha kushangaza nusu yao kati ya wanafunzi wenye mkopo hawakupewa hadi muda huu na haijulikani watapewa lini.kingine ni kuwa yameongezewa bei ya chakula kwa asilimia 50 eti kwa ajili ya compasation za inflation ya asilimia 16.7.ndio maana watu wengi wanawaita Chuo cha vilaza wa Tanzania.BIG UP my camp UDSM kwa kuwa mkombozi wa kila jambo linalohusu maslahi ya wanachuo nchini ikiwemo ongezeko la feza za boom. Na maliza kwa kusema "WATAGOMA WOTE ILA SIO HAO MAZEZETA WA UDOM".
we ni mbaguzi mwazisha mada anaunganisha nguvu wewe unavunja acha hizo.
 
Wadogo zangu na tunaolingana na kunizidi umri,wito wangu kwa vijana walioko kwenye taasisi za elimu ya juu,mnapaswa kujiuliza elimu yenu inawasidia nini kuutambua ukweli na hali halisi ya mambo yanavyoendeshwa TZ.

Na nyinyi ndo mnatakiwa kuwa kitovu cha kuleta mabadiliko,na pale mnaposhindwa kufanya hivyo ndipo linapokuja suala la wasomi wa siku hizi ni wa kukariri.

Kiukweli inaniuma sana jinsi mnavyosoma kwa tabu na wakati mwingine kushindwa kabisa kwa kukosa mikopo kwa kisingizio hakuna pesa,hapa ndo ninawapa changamoto wana vyuo wote je ni kweli hakuna pesa nchi hii.

Nani anajua gharama zilizoingiwa na serikali kwenye sherehe ya maazimisho ya miaka 50 ya uhuru wa kijinga na umasikini?je hamja sikia yaliyotokea huko TCRA watu 2 wamesomeshwa kwa bilioni mbili,na je hizo hela za kutalii kwa JK zinatoka wapi?

Anyway ni mengi nanyi mnayajua.

Unganeni, mshikamane, muwe na umoja wa vyuo vyote mnaweza kulitatua jambo hili na muwe na point za kuiuliza serikali kupitia ufujaji wa fedha inaoufanya kisha inasema hakuna hela za kuwakopesha.
 
Tuongezeeni udsm nguvu vijana,hasa nyie wana udom,sua na aru,najua huko ndo kuna watoto wa walala hoi wengi.over
 
Mgomo mkubwa kama huo inabidi tahiliso(umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu) wapewe taarifa na hayo mambo uliyozungumza ni muhimu cha msingi ongea na uongozi wa chuo chenu wakupe contacts za rais wa tahiliso ili umpe mchakato wako otherwise sidhani hyo tartehe 15 watagoma

yan kama mimi rum yetu wanne wote boomless..tunahasira
 
We tried in 2009,boom kwa wanasayans likawa miamia,n0w tumeacha athari,sasa endeleeni!
 
Mimi ni MTANZANIA niliyefanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) mwaka juzi kwa bahati nzuri nimefanikiwa kupata mkopo 100% ni kweli fedha imeongezeka lakini haitakuwa vizuri mimi niongezewe na wengine wakose kabisa haikuwa dhamira yetu.Sisi ndiyo tumesababisha wadogo zetu wa mwaka wa kwanza kukosa kabisa mikopo wakati serikali yetu inafedha nyingi tu za kutusomesha wote,sasa tuamueni moja tuwasaidie wadogo zetu ili nao waweze kupata elimu,ebu fikiria zaidi ya wanafunzi 1000 wamekosa mikopo wengine tunaosoma nao wanarudi nyumbani kwa sababu hawana fedha za kujikimu..Tuacheni unafiki, kuna watu hawana mikopo jaman isiwe kigezo cha kuongezewa sisi hela ndio inatuvunja nguvu ya kudai haki za wengine,isije ikathibitisha kauli kuwa "mwenye nacho anaongezewa asiye nacho anajimwa"kwel hata ALAH anakataa.Tusije tukaonekana ni WANAFIKI mbele ya jamii na ahera pia kisa tumeongezewa bumu kumbukeni hata wao wanatutega kwa hili.SASA tuungane vyuo vyote TANZANIA kupinga hili swala kwa sababu kila chuo kuna watu hawakupata mikopo,UDSM wameanza,tuungane jamani ili hata alah asituone wanafiki pia kuongezeka kwa bumu isiwe sababu ya kutowasaidia wenzetu.SISI NDIO VIONGOZI WA NCHI YETU.Nasisitiza kuanzia jumatatu tarehe 15/11/2011 vyuo vyote TANZANIA tuungane kupinga hili swala kwa kutoingia darasani.Kila mtu anaongozwa na nafsi yake pamoja na mungu mmoja.
unahamasisha mgomo halafu unafanya kosa kama hapo kwenye red!!!
nakushauri wewe na wenzako wa mwaka wa tatu muanzishe mfuko wa kusomesha wadogo zenu,kama mwaka watatu katika fani zote na vyuo vyote nchini wakichangia huu mfuko mtaweza kusomesha japo mwanafunzi mmoja na baada ya miaka mitano mtaweza kusomesha wanafunzi 30.ili mfuko uwe endelevu basi wanaokopeshwa watarejesha kwa riba nafuu.tuache kufikiria maandamano kila siku tuchangamshe vichwa hasa sisi wasomi.maandamano tuwaachie wamachinga na wanaappolo.
 
Gomeni muone! FFU wanajipanga kwa ajili ya yeyote anayetaka kuvunja amani.
 
Back
Top Bottom