Habari na Maendeleo za Kaunti za Mombasa/Mombasa County Development

Ongoing Expansion of Nyali Bridge

 
Up Grade of Coast General Hospital - Hospitali ya Serikali


































 
Mambo mazuri sana haya kule mombasa,hongera kwa Mheshimiwa Gavana Joho na watu wa kaunti ya Manbasa,hiyo hospitali imekaa sawasawa.Kweli ugatuzi una mafanikio yake.
 
Hivi county ndio nini kwa mazingira ya Tanzania? Ni jimbo? Mkoa au wilaya?
 
Mambo mazuri sana haya kule mombasa,hongera kwa Mheshimiwa Gavana Joho na watu wa kaunti ya Manbasa,hiyo hospitali imekaa sawasawa.Kweli ugatuzi una mafanikio yake.

lazima asuke roads ziwe in condition. ......Street bash mingi sana Dec ndio hio inakuja
 
lazima asuke roads ziwe in condition. ......Street bash mingi sana Dec ndio hio inakuja

Haha!umekiche far viexcess!Wah sa umedo nikumbuke dec inanok mlango.Mraaiya nayo coasto kumwagika?Mutua ndo yuplania events zikiwa bado far,ka masaku sevens ivi,sijui joho ka ako rada ivo?
 
Joho atembelea maendeleo ya Kisauni na Nyali (Kisauni / Nyali developments)














 
Joho together with the Danish Ambassador H.E Mette Knudsen, we officially opened a new center for excellence for diabetes care at the Coast General Hospital.
The new centre aims to become a national reference center where other facilities through collaboration can train and learn best practices in diabetes care. Furthermore it will provide regular and direct multidisciplinary consultations hence individualized care for those living with the disease .




























 
Launching of Construction Machines za kuendelea kujenga na kuhifadhi barabara za kaunti ya Mombasa




























 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…