Habari ndugu zangu, naomba ukaribisho

Karibu sana Mimi ndo mwenyekiti wa kamati ya mapokezi.

Kuna popoma mmoja anitwa GENTAMYCINE atakuja baada ya kupooza machungu ya kufunguliwa na feitoto huko Mwanza maana yeye ndo afisa habari za michezo humu ndani.
 
Karibu sana Mimi ndo mwenyekiti wa kamati ya mapokezi.

Kuna popoma mmoja anitwa GENTAMYCINE atakuja baada ya kupooza machungu ya kufunguliwa na feitoto huko Mwanza maana yeye ndo afisa habari za michezo humu ndani.
Asanteh mwenyekiti wa kamati ya mapokezi,asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…