INAUZWA Habari ndugu zangu nauza LED solar street light kwa shilingi 120000

INAUZWA Habari ndugu zangu nauza LED solar street light kwa shilingi 120000

Joined
Jan 27, 2017
Posts
61
Reaction score
33
aeb00734-db71-4985-a24c-4d4794f56857.jpg

•Taa zinamwanga wa kutosha ni auto usiku zinawaka zenyewe
•mikoani tunatuma kwa uaminifu
•unaweza kufunga nje ya nyumba au kwenye fensi
•namba ya simu ni 0658554720
Karibuni
 
View attachment 2772638
•Taa zinamwanga wa kutosha ni auto usiku zinawaka zenyewe
•mikoani tunatuma kwa uaminifu
•unaweza kufunga nje ya nyumba au kwenye fensi
•namba ya simu ni 0658554720
Karibuni
Nimependezwa na bidhaa yenu.

Hakuna punguzo kwa mteja anayechukua Pcs 5 na kuendelea?

Vipi ofisi yenu kwa Dsm ipo mtaa gani iwapo mteja angependa kuja kuwatembelea?
 
Habari kaka karibu izo taa zilibaki mbili ndo tunaziuza zilikua kwa ajili ya kazi kwaiyo boss amemaliza kazi ndo anataka pesa na zipo kigamboni nyumbani na sio dukani
Okay, binafsi nilikuwa nahitaji zaidi ya taa 6 kwaajili ya kuzifunga kwenye uzio wa nyumba yangu.

Kama utakuwa na mawasiliano na dealer nitafurahi kuyapata.
 
Back
Top Bottom