kisoi hardware
Member
- Jan 27, 2017
- 61
- 33
•Taa zinamwanga wa kutosha ni auto usiku zinawaka zenyewe
•mikoani tunatuma kwa uaminifu
•unaweza kufunga nje ya nyumba au kwenye fensi
•namba ya simu ni 0658554720
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependezwa na bidhaa yenu.View attachment 2772638
•Taa zinamwanga wa kutosha ni auto usiku zinawaka zenyewe
•mikoani tunatuma kwa uaminifu
•unaweza kufunga nje ya nyumba au kwenye fensi
•namba ya simu ni 0658554720
Karibuni
Okay, binafsi nilikuwa nahitaji zaidi ya taa 6 kwaajili ya kuzifunga kwenye uzio wa nyumba yangu.Habari kaka karibu izo taa zilibaki mbili ndo tunaziuza zilikua kwa ajili ya kazi kwaiyo boss amemaliza kazi ndo anataka pesa na zipo kigamboni nyumbani na sio dukani
Okay, binafsi nilikuwa nahitaji zaidi ya taa 6 kwaajili ya kuzifunga kwenye uzio wa nyumba yangu.
Kama utakuwa na mawasiliano na dealer nitafurahi kuyapata.
Hapana boss sijapata.Habari boss hivi zile taa za solar ulishapata??
Hapana boss sijapata.
Vipi umefanikiwa kuleta mzigo mpya?
Bei kwa hizo Watt40 ni shilingi ngapi?Zimepatikana sita boss kama idadi ulokua unataka ila ni watt40
Bei kwa hizo Watt40 ni shilingi ngapi?
Naweza kulipia 270k kwa Pcs 6?Elf60 tu boss per 1
Naweza kulipia 270k kwa Pcs 6?
Nitakucheki Jumatatu nikiwa TownBoss ni pesa Sawa malizia iwe 300k
Nitakucheki Jumatatu nikiwa Town
Nimeona hapo juu, nitakucheki MondaySawa boss namba si unayo
Nimeona hapo juu, nitakucheki Monday