What come first in ur mind utaniuliza SOURCE...!!
Go n search, do simple study ya wanandoa uwajuao, hudhuria semina mbalimbali za HIV/AIDS, etc, so up to 79% ya wana ndoa either both or one of them anauhusiano nje ya ndoa hapa TZ, na mostly married men, ambao ndio hadi 60% wana wenzi nje ya ndoa, je ww uko wapi? Are u safe? Hii ina maana 21% au pungufu ndio waliowatiifu kwa ndoa zao, na chanzo KIKUU, kiunganishi cha mahusiano nje ya ndoa ni SIMU, ukiwacha tabia, simu, simu, kazi kwenu.
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol
kama mwanamke:
1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia
2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'
3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol
4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....
5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol
****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:
Afu wanaume mnapenda kupiganiwa! My hubby also seems to like it when I fight for him.
Kwani umesema wewe uko wapi?What come first in ur mind utaniuliza SOURCE...!!
Go n search, do simple study ya wanandoa uwajuao, hudhuria semina mbalimbali za HIV/AIDS, etc, so up to 79% ya wana ndoa either both or one of them anauhusiano nje ya ndoa hapa TZ, na mostly married men, ambao ndio hadi 60% wana wenzi nje ya ndoa, je ww uko wapi? Are u safe? Hii ina maana 21% au pungufu ndio waliowatiifu kwa ndoa zao, na chanzo KIKUU, kiunganishi cha mahusiano nje ya ndoa ni SIMU, ukiwacha tabia, simu, simu, kazi kwenu.
I envy how naive you are...
Mtu mwenyewe hajaonja wala hayuko katika ndoa would never understand. Wewe ni mwanamke tafadhali hata kama hujaolewa observe maisha ya wanawake waloolewa. Hizo kauli ulizoongea ndo wale wanaofikiri they are so exceptional kua yeye mwanaume akimpata kwake anakua amefika; akifikiri kua ukifanya hayo mambo ulotaja basi everything will be OK - which is kujidanganya.
<br />Kwa kuwa umesema haujaolewa. Ushauri wako naomba uweke kwanza alafu ukiolewa baada ya miaka sita ya ndoa, njoo nao tena JF.
<br /><font size="4"><font color="darkred">bibi fanya hayo niliyokuambia,uone kama mumeo atatoka nje?akitoka,he doesnt worth your time/undying love.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frusty.gif" border="0" alt="" title="Frusty" smilieid="189" class="inlineimg" /></font></font>
<br />
<br />
Hujaolewa km ulivyosema wewe kwa sasa ushauri wako hauna mvuto
Kwa kuwa umesema haujaolewa. Ushauri wako naomba uweke kwanza alafu ukiolewa baada ya miaka sita ya ndoa, njoo nao tena JF.
Pole mdogo wangu AD,
Tuendelee tu kujadili...Kwangu mimi nafurahia sana takwimu kama hizi kwani ni vizuri kujua kuliko kujikalia tu kama vipofu.
Niwemo kati ya hao 79% au la, jambo la msingi ni kuhakikisha kuwa I am responsible and caring to partner! Natimiza wajibu wangu 100%.
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol
kama mwanamke:
1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia
2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'
3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol
4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....
5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol
****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:
<br />wamama tulioolewa wote tunayajua hayo, na wengi wanayazingatia sana......................... cha ajabu kuna hiyo 79% jiulize...............
<br /><br />
<font size="4"><font color="darkred">hauna mvuto kwenu nyie,bibi haambiliki!otherwise sioni kama nikiolewa ushauri wangu ndio utapendeza,nikikuuliza hapa HOW utaniambia? au utanipa jibu tu la mkato 'olewa kwanza!?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" /></font></font>
tatizo baada ya miaka sita ya ndoa unajidai una majukumu mengi,unachoka huwezi kutimiza majukumu yako tena,nyumba kubwa huu ushauri ninaoutoa ndio nitakautoa baada ya kuolewa na kuwa na miaka sita ndoani-the key to successful marriage is to be the 'same' person he married years ago,sio unaenda ukibadilika,na kuwa mtu tofauti na yule aliyekutana naye mwanzoni obviously atatafuta mtu mwingine mwenye qualities zako za mwanzo-ni ushauri tu you can take or leave it......:frusty: