Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kivipi mkuu ?Allegri aje tu asaidie kuishusha arsenal daraja [emoji1] [emoji1]
Bila kuondoa Wenger Arsenal haitofika popote , huyu mzee mbinu zake zimekwisha .daaaah bola maana
Kila siku siyo jumapili .Juve lazima achapwe wiki ijayo-watatoka 3-0 kisha kwenda dakika za nyongeza
Naiona nusu fainali ya barca na altetico madrid
Endelea kukaririJuve lazima achapwe wiki ijayo-watatoka 3-0 kisha kwenda dakika za nyongeza
Naiona nusu fainali ya barca na altetico madrid
Uchawi usiologa ! Bora aende nao tu.Wenger ataondoka na uchawi wake
Huyu apewe timu ya vijana apandishe vipajiBila kuondoa Wenger Arsenal haitofika popote , huyu mzee mbinu zake zimekwisha .
Hahaaa yaani wewe ndo umeuwa kabisaAllegri aje tu asaidie kuishusha arsenal daraja [emoji1] [emoji1]
Bila kuondoa Wenger Arsenal haitofika popote , huyu mzee mbinu zake zimekwisha .
Nakuhakikishia Sunderland itaitandika Arsenal gemu ya marudio , Arsenal sasa hivi ni sawa na shamba la kijiji , wala si shamba la bibi tena , maana shamba la bibi ni la ukoo tu .Unakosea sana kusema Arsenal ni mbovu! Sasa Sunderland itakuaje??