kwa kuwa mimi ni mdau wa hapa jamiiforuns na pia ni mwanafunzi wa chuo hiki cha st joseph,,
tume ya vyuo vikuu tanzania(TCU) na chuo hiki....wamekubaliana wanafunzi wa form four wanaweza kusoma fani ya elimu(education) kwa ngazi ya shahada(degree),,,lakini ni miaka mitano(5 years),,,
sifa za mwombaji,,,,,awe amepataa walau masomo yote saba D kwa arts,,,na kwa sayansi awe na D saba lakini za sayansi zisikose,,,,,sijatoa
ila kwa kweli ada zao ni kubwa mno hilo lijue kabisa.