Habari njema kwa Contractors..na wote wanaohitaji Mikopo kufund Projects

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
594
Reaction score
163
Mkopo kwa ajili ya kufund Contractors Projects (both zinazoendelea na zitakazotokea) inapatika kwa haraka (within 2 weeks to 1 month) kutoka International Commercial Bank. Cantact me thru 0756-517588 or 0652-590519. Thanx.
 
jelly good,.. we are coming then...but riba ikoje?
 
usiseme ivyo ndugu, rate za commercial banks zote tz zina kua set na Bot...hivyo basi riba zetu zina range in between 19 an 24%..

Mkuu hapo ndo tatizo lililopo kwenye riba. Katika construction industry kwa kazi ambazo umetender na kupata kihalali huwezi kuweka faida zaidi ya 25%. Hivyo kama contractor mtamtoza hata 24% ina maana at maximum anategemea yeye abaki na 1% profit of the project. This is too much.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…