Elections 2010 Habari njema kwa walionjiandikisha kupiga kura mlimani

Elections 2010 Habari njema kwa walionjiandikisha kupiga kura mlimani

palalisote

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
8,335
Reaction score
1,459
WanaJf nimesoma moja ya thread watu wanalalamika kuwa majina yao hawajayaona pale nkrumah hall. Jamani wale waliojiandikisha pale nkrumah na ambao 2005 walipigia kura hapo kituo kimehamishiwa pale "SHULE YA MSINGI MLIMANI".jirani na UDASA, jamani nendeni majina yenu yapo hata langu nimeliona pale. Kituo kinaitwa "SHULE YA MSINGI MLIMANI C". hata ukibofya website ya nec inakwambia ni "SHULE YA MSINGI MLIMANI C". Kituo cha nkrumah kinaitwa UTAWALA kama mmesoma vizuri. Mpe taarifa hii na mwenzio haraka.
 
NEC wanasababisha usumbufu usio waazima kama wamemhamisha mtu toka utawala kwenda shule ya msingi ingekuwa vyema wakatoa taarifa kwenye kituo alichojiandikisha awali ili makifika hapo akute maelekezo ya wapi pengine atayakuta majina
 
Back
Top Bottom