Aveva ajipime .Simba Ni Team bashite
How is this a good news to Simba fans?Salaam wanabodi,
Ligi imemalizika weekend iliyopita na YANGA kukabidhiwa kombe lake.
Wana simba wamefungwa Mawazo yao na kauli za Manara na aveva kuhusu kukata rufaa FIFA ili wasipate Muda wa kuhoji kipindi chao cha utawala kwanini hawajachukua kombe na kuipa mafanikio timu ya Simba.
Muhimu kwa wanasimba wanatakiwa wawe na msimamo kwa kuuliza ni lini (tarehe na mwezi) kuwa majibu ya rufaa yatakuwa tayari?
Je TFF haina wanasheria na Watu makini kiasi cha kujiridhisha kuwa haki haikutendeka?
Haya basi habari njema ni kwamba simba wamechongewa kombe jengine tena la box toka fifa ili nao wewe nalo la mojakwamoja.Umetumia viroba vya wapi wewe? Hiyo habari njema iko wapu
HIYO PIA NI HABARI NJEMAUmetumia viroba vya wapi wewe? Hiyo habari njema iko wapu
Bora wewe huna mapenzi ya kimbumbumbu kama wenzioAveva ajipime .
Yanga tumekuwa mabingwa mpaka tumekinaiwa bora tumuachie singida unitedMsimu ujao kama kawaida. Tunawatanguliza na baiskeli yao ya udongo. Ikija mechi dhidi ya Yanga, tunawaachia "ushindi" baada ya hapo wanavimba vichwa na kuanza kupoteza mwelekeo hadi ligi inaisha. Bingwa Yanga au Azam. Nafasi ya tatu kati ya Kagera na Singida United!