Wapendwa taifa liko kwenye janga kubwa la ukosefu wa ajira, lakin wengi wetu tunapenda kumaliza chuo na kuanza kuangaika kwa ajili ya kutafta kazi, mimi nna ndugu zangu na marafiki wengi wamemaliza chuo tangu 2010 lakin wanaendelea kutafta kazi wanakaa tu nyumbani, tena wamekata tamaa wanasema wako tayari hata kwa kazi ya sales ambayo b4 walikuwa hawataki. vijana wenzangu mimi nafanya kazi lakin mshahara hautoshi tunahitaji tuwe na kitu cha kutuingizia kipato pia, kuna biashara nyingi za mtandao za kufanya ofcoz nyingi zao zilizotangulia zina mfumo kidogo mgumu kupata hela unahangaika weeeee lakin unachoambulia ni kidogo au kukosa kabisa, sasa ningependa kuwashirikisha hii biashara ya mtandao ambayo ni mpya kabisa tanzania hadi sasa hamna hata ofisi tunaendelea kutafta huku products tukichukua kenya,kwann ujiunge ina products 5 tu ambazo kuzifanyia marketing kumuelewesha mtu ni rahic sio kampuni nyingine zna products nyingi hadi unachanganyikiwa, pia inatumia binary system yaan system inakuruhusu kuingiza watu wawili tu then wengine watakaojoin system itakutaka uwaweka chini ya team yako, tatu entrance fee ni ndogo hata kwa watanzania wenye kipato cha chin kabsa anaafod yaan hata laki 2 haifik, pia hela unalipwa kwa wiki haina kusubiri hadi mwezi,pia haihitaji kujitwisha products na kuanza kuzurula nazo just unamuingiza mtu,kama nilivyosema hii kitu ni mpya utakavyowahi kujoin mapema ndo mafanikio zaidi coz hata kwenye biashara nyngne za mtandao wanaofanikiwa sana ni wale walojoin mapema, ndugu zangu hii biashara nzuri halafu haina stress chance za kutengeneza hela ziko wazi ushindwe mwenyewe acheni kuridhika na maisha kuna fursa nyingi za kujiongezea kipato kuliko kukaa na kuilalamikia serikali tujitume watanzania wenzangu, sawa tafteni kazi huku mnakitu cha kuwaongezea kipato mshahara hautoshi jaman,kwa maelezo zaidi just nipm, MBARIKIWE SANA,REST IN PEACE SHIDA