Habari wajasiriamali '' GOLD MARKET''

Habari wajasiriamali '' GOLD MARKET''

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Kuna rafikiyangu Mkongo anataka kuwa analeta raw gold tanzania ameshapata utaratibu wa wizara ya madini na TRA sasa yeye anahitaji masoko hapa nchi hana mtaji sana anataka wanunuzi serious,na je wadau hivi bei yake inaendaje kwa troy ounce moja,na kama mnaweza nijuza kampuni nunuzi hapa tz,mbalikiwe
 
kwa Geita wanunuzi wa dhahabu ni wengi sana, troy ounce moja ni zaidi ya million 2 fedha za Tanzania
 
Back
Top Bottom