Habari wakubwa GTs

KINGWALANGWANDA

Senior Member
Joined
Jan 23, 2015
Posts
102
Reaction score
30
Ndugu zangu mi ndio naingia humu, kwa hiyo mawazo na ushauri wenu ni muhimu sana kwangu. naamini GTs ni kila kitu.
 
mmmh! Mjukuu krb sana ila kuwa mwangalifu jf ya karne hii imevamiwa na makanjanja so usiamini kila unaloliona humu! Mjukuu ukikuta uzi umeanzishwa usikurupuke kucomment ufuatilie kwanza uone wengine wanasema nn maana unaweza ukaumbuka kunawatu humu wanajua mambo ila usiwaogope we pambana kwa hoja.

Mjukuu usipost matusi kuna kitu kinaitwa burn yaan ukikwaana na mods basi hiyo kitu itakuhusu. Nisikutishe sn ila nakuomba yale mambo yenu ya fb yaache hukohuko, huku ni kijiji kingine kabisa.

KARIBU SN TUBADILISHANE MAWAZO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…