nina uhakika kama kweli una nia ya kweli ya kutaka kusoma na umeamua kuelekeza nguvu zako zote kwenye shule basi nza form four tu inatosha sana kufanya vizuri ila cha msingi chagua masomo ambayo either ulikuwa unayaweza walau au yale ambayo upatikanaji wa nondo zake ni rahisi kwako
Mwisho Usisahau kwenda mchikichini kufanya paper za kila wiki kwa masomo hayo ili uwe unajipima kama umeiva kwa kiasi gani itakusaidia sana
Usisahau kununua paphlet za maswali na majibu huwa zinasaidia