Habari wakuu ndugu yangu mmoja kila anapolala na akiamka asubuhi,upande wa kushoto kwenye baji la uso huvimba kama uvimbe w kuumwa na jino ,lakini huo uvimbe haimuumi kabisa,baada ya masaa matatu au manne uvimbe unapotea..je mwenye ufahamu w jambo hili anaweze kunambia ni kitu gani? Nitashukuru
Sent using
Jamii Forums mobile app