divalovenesslove
New Member
- Aug 14, 2016
- 2
- 1
Habari wana JamiiForums, nimefurahi sana kujiunga na JF maana nilikua sijui ni jinsi gani ya kujiunga&pia sikuwahi kujua kama kuna app ya JamiiForums
Ni muda mrefu sana nimekua nikigoogle tatizo langu lolote naletewa na majibu kutoka JamiiForum pia. Naomba mnipokee ndugu zangu, natarajia kujifunza&kuelimishwa mengi.
Mwenyezi Mungu awabariki.
Ni muda mrefu sana nimekua nikigoogle tatizo langu lolote naletewa na majibu kutoka JamiiForum pia. Naomba mnipokee ndugu zangu, natarajia kujifunza&kuelimishwa mengi.
Mwenyezi Mungu awabariki.