Habari wana JamiiForums

divalovenesslove

New Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Habari wana JamiiForums, nimefurahi sana kujiunga na JF maana nilikua sijui ni jinsi gani ya kujiunga&pia sikuwahi kujua kama kuna app ya JamiiForums

Ni muda mrefu sana nimekua nikigoogle tatizo langu lolote naletewa na majibu kutoka JamiiForum pia. Naomba mnipokee ndugu zangu, natarajia kujifunza&kuelimishwa mengi.

Mwenyezi Mungu awabariki.
 
Amen. Karibu sana. We ndo Diva wa Clouds?

Njoo kwangu PM,mimi ndo balozi wa mtaa huu.
 

Amiin, picha basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…