Habari wana JF

Joined
Oct 13, 2015
Posts
16
Reaction score
18
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili

Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.

Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
 
Karibu tena JamiiForums...
 
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili

Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.

Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
Karibu tena JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…