S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 17, 2010 Thread starter #2 Heee nilisahau kuandika habari zenu wanajamii forums
B Babuyao JF-Expert Member Joined Jun 6, 2009 Posts 1,741 Reaction score 272 May 17, 2010 #3 karibu mkuuu
S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 17, 2010 Thread starter #4 Roger asante kamanda
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 May 17, 2010 #5 Karibu mkuu. Twausubiri kwa hamu mchango wako kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo la taifa letu. We love u.
Karibu mkuu. Twausubiri kwa hamu mchango wako kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo la taifa letu. We love u.
S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 17, 2010 Thread starter #6 Wakuu naomaba kuuliza hivi humu ndani watu wanaishi vipi???? just curious.
S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 17, 2010 Thread starter #7 Bujibuji said: Karibu mkuu. Twausubiri kwa hamu mchango wako kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo la taifa letu. We love u. Click to expand... Asante mkuu tuko pamoja
Bujibuji said: Karibu mkuu. Twausubiri kwa hamu mchango wako kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo la taifa letu. We love u. Click to expand... Asante mkuu tuko pamoja
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 May 17, 2010 #8 jana lako tu utata..karibu sana bwana stapler feel at home
Dreamliner JF-Expert Member Joined Jan 17, 2010 Posts 2,034 Reaction score 214 May 18, 2010 #9 Karibu mkuu...
S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 18, 2010 Thread starter #10 FirstLady1 said: jana lako tu utata..karibu sana bwana stapler feel at home Click to expand... Thanx
S Stapler Member Joined May 17, 2010 Posts 17 Reaction score 0 May 18, 2010 Thread starter #11 Nishaakaribia Mkuu!
Lily Flower JF-Expert Member Joined Oct 16, 2009 Posts 2,553 Reaction score 1,199 May 18, 2010 #12 Stapler said: Wakuu naomaba kuuliza hivi humu ndani watu wanaishi vipi???? just curious. Click to expand... Watu wanaishi kutokana na mazingira yaliyopo, ukikuta watu wanalala huku wamesimama nawe fanya hivyo hivyo. Any ways you are welcome.
Stapler said: Wakuu naomaba kuuliza hivi humu ndani watu wanaishi vipi???? just curious. Click to expand... Watu wanaishi kutokana na mazingira yaliyopo, ukikuta watu wanalala huku wamesimama nawe fanya hivyo hivyo. Any ways you are welcome.
Amoeba JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 3,288 Reaction score 791 May 19, 2010 #13 Mkuu, mbona heading yako umewapa dole la chini wanajamii?........just curious!