HABARI WANAJAMVI

Msaada wenu nina mpango wa kuanza mutengeneza san tizer shida, ni vifungashio naomba muongozo wenu navipatane na bei zake. View attachment 1400905

Sent using Jamii Forums mobile app
Sanitizer nyingi za kutengeneza kienyeji aidha ni fake au zina madhara. Siyo kila mtu anaweza kutengeneza. Kuna taratibu za kufuata. Ni hatari ukiwa na sanitizer fake maana itamdanganya mtumiaji yuko salama kumbe anameza virusi kibao. Kwa kifupi unaweza kusababisha virus kuongezeka na kusambaa zaidi kwa tamaa yako ya fedha. Au mtumiaji akapata madhara na kusababisha matatizo mengine makubwa zaidi kuliko hata hao virus. Nime-note hata jina la kitu unacho-plan kutengeneza hujui kiliandika vizuri. Ni hatari kubwa unataka kuleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…