Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni yeye mwenyewe basi atakua amepita sehemu isiyo salama hivyo ameanza kujiogopa, huyu akipata hata malaria tu anaweza akakonda kwa uwoga na wasi wasi!Pima upate uhakika, usitafute dalili....[emoji6][emoji6]
hizo za 90's zipoje?Naombeni kufahamu Dalili za mwanzo za Maambukizi VVU Maana nimejaribu Kutafuta humu nilizopata wengi wamezielezea kua ni za 90'S huko so mpya zipoje kama zipo
Naombeni kufahamu Dalili za mwanzo za Maambukizi VVU Maana nimejaribu Kutafuta humu nilizopata wengi wamezielezea kua ni za 90'S huko so mpya zipoje kama zipo
Pima upate uhakika, usitafute dalili....![]()
![]()
Asante MkuuVvu inashusha kinga ya mwili ko kila mtu ataonyesha dalili tofauti kulingana na ugonjw auliomshambulia
Njia pekee ni kwenda kupima
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mawazo tupu hapa yamenijaa Ex wangu juzi kati alinicheki kuuliza kama nishawahi pima vvu nikamjibu hapana akadai Hua wana utaratibu wa kifamilia kwenda kupima kila mwaka sasa aliipa presha kulingana na mazungumzo yalivyo kua na yapata wiki sasa hapatikani hewani Nimecheki humu zile Dalili za mwanzo naona kama sina ila bado nina stress sana hata kwenda kupima ujasiri sina kabisakama ni yeye mwenyewe basi atakua amepita sehemu isiyo salama hivyo ameanza kujiogopa, huyu akipata hata malaria tu anaweza akakonda kwa uwoga na wasi wasi!
Ndugu hiki ulicho andika hapa umeniacha mbali sana
Mawazo tupu hapa yamenijaa Ex wangu juzi kati alinicheki kuuliza kama nishawahi pima vvu nikamjibu hapana akadai Hua wana utaratibu wa kifamilia kwenda kupima kila mwaka sasa aliipa presha kulingana na mazungumzo yalivyo kua na yapata wiki sasa hapatikani hewani Nimecheki humu zile Dalili za mwanzo naona kama sina ila bado nina stress sana hata kwenda kupima ujasiri sina kabisa