crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Kwa nn unajiita crusader
Hapana mkuu mi Mkalakala tu mtaaniKwani wewe ni beberu au TISS
Hapana mkuuUmetumwa?
Naona awamu hii vipepeo wanaingia kwa kas Sana humu Mana rate inaonyesha miez hii miwili Kuna ongezeko kubwa Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila karibu Sana humu mpate hekima za watoto wa wakulima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ShukraniKaribu sana JF.
Ma nickname mkuuKuna timu inaitwa crusader ilinichana 50k yangu...basi kila nikimuona huyu member hasira zinaongezeka tu[emoji23]
Shukrani MkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Kwani Nini kirefu Cha TISS mgeni..?Hapana mkuu mi Mkalakala tu mtaani
Sijui Mkuu ila naonaga tu JF kwa thread flan ivi hata ivo mi so muumini wa maswahala hayo ya GVTKwani Nini kirefu Cha TISS mgeni..?
We ni me au ke..?Sijui Mkuu ila naonaga tu JF kwa thread flan ivi hata ivo mi so muumini wa maswahala hayo ya GVT
MEWe ni me au ke..?
Unajuaje kuwa TISS ni maswala ya government?Sijui Mkuu ila naonaga tu JF kwa thread flan ivi hata ivo mi so muumini wa maswahala hayo ya GVT
Nshawahi ona thread humu JF about it ndo nlipojua for the 1'st timeUnajuaje kuwa TISS ni maswala ya government?