Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,431
- 4,925
kidumu chama cha mapinduzi.............
ndo sera zake hizo au hamjui kuwa ni "chukua chako mapema" hata kama cha "dhuluma?"
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
m4c at work
chademalism wakati hapa tunaongekea mambo ya madai
Sema pia umeona nini kwa Mnyika tulinganishe!!!!Kabaka mbona hayo huyaoni unaona ya Mnyika?
Wale wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wako wapi wajameni? Mbona hii issue ni ya muda kitambo, inamaana wameshindwa kumsaidia?
Pole sana kwa kijana anayevunjiwa. Maumivu aliyonayo ni makali sana. Lakini samahani mtoa mada. JANETH MBENE KAINGIAJE HAPA? YUPO ENEO LA KUVUNJA? WANAVUNJA KWA SABABU GANI HASA? KWA NINI UNADHOOFISHA MESEJI KWA KUMTAFUTIA SCANDLE JANETH MBENE AMBAYE WALA SI MWANASHERIA WALA WIZARA YAKE HAIHUSIKI NA HICHO KIWANJA? Hakuna sababu ya kupaka watu matope wakati sababu za kweli zipo zinaweza kujisimamia na haki ikapatikana kwa yeyote mwenye haki akapata. Sema sababu za kueleweka upate support na siyo kutafutiza kumuingiza Janeth Mbene. Ninaona kama wewe unavisa binafsi dhidi ya Janeth Mbene ambazo hujazieleza ila unataka wana jf wakusaidie kumlipizia kisasi mama wa watu kwa maslahi yako.
Muda huu hapa Masaki, yule kijana ambaye niliwahi kutoa taarifa kuwa anataka kudhulumiwa haki yake amevamiwa tena na wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni na wameendelea kubomoa.
Kijana huyu juzi J'pili alikamatwa akawekwa polisi lakini baada ya kujieleza jana akaachiwa bila kufunguliwa mashtaka yeyeto. Inasemekana Mkurugunzi bwana Fwema amepokea shinikizo kwa Janeti Mbene ambaye anasisitiza kumtoa huyo kijana ili yeye na mfadhili wake mkuu wa uchaguzi wa CCM, mmiliki wa Double Tree waweze kukimiliki hicho kiwanja.
Muda huu nimeshuhudia kijana wa watu akihangaika kuwasihi wabomoaji wasiendelee na ubomoaji lakini wamegoma. Mwanasheria wa Manispaa ametoa ushauri wake lakini umegomewa na ubomoaji unaendelea.
Inasemekana wakati Janeti anaenda Dodoma kwenye uchaguzi wa CCM alimhakikishia tajiri wa Double Tree kuwa hilo eneo atalipata tu na asiwe na wasiwasi na akaahidi akirudi toka Dodoma atashughulikia na ujenzi wa parking ya magari utafanyika hivi punde. Tajiri huyo alifurahi sana na akamwagia Janeti Mbene mapesa na ndiyo maana ubomoaji unaendelea mpaka sasa.
Haiwezekani! Ni kuingilia jinsia. Janet anaonewa kwa kuwa yeye ni mwanamke, huyo kijana anataka kuleta manayanyaso ya mfume dume, ndo maana halmashauri imekwenda naye! JAMANI NCHI YANGU! Mara hiki mara kile! Haki iko wapi! Janet - utahukumiwa hapa hapa na huko mbinguni! Pesa inakufanya ushindwe utu, nini? cheo? Kwani uliwahi lala njaa kwa sababu ya kukosa cheo? Na kama waziri sijui naibu, unakubali je kuhongwa? Mumeo atafurahi kweli kusikia haya? Pohhhh aibu!!!!
Natamani kuanzisha petition tuisaini watu wengi tuipeleke kule manispaa ya kinondoni!
Una undugu na shetani janet!mteule wa chama cha mashetani,malkia wa dhuluma?Mbona hueleweki? Unamtetea Janet au unamlaumu? Sentesi ya kwanza inamtetea halafu unamkandia, tuelewe vipi?
Una undugu na shetani janet!mteule wa chama cha mashetani,malkia wa dhuluma?