Habari ya mujini

Boloyoung

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
682
Reaction score
652
Darasa aliwafunika Dimpoz na Kiba kisha Diamond na Rich mavoko kisha Diamond na NEYO bado darasa aliendelea kuwakimbiza....Darasa akaja kumezwa na Bashite. Mpaka wakaja na ujanja wa msaada new model wa viroba....vimepigwa marufuku bado singo ya Bashite ni tamu zaidi...wakaona waje na mama Salma....bado sioni dalili ya kuifunika singo ya Bashite...BASHITE NDO KITU CHA PEKEE KINACHONIFURAHISHA KWA SASA.
Bashite bana....ujue Bashite ni kama Babu wa loliondo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…