Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Hospitali ulizo zunguka Ni za kata wilaya mkoa? Au Hadi Rufaa ya Taifa MUHIMBILI?Msaada wenu hata wa ushauri ni muhimu kwangu
Muhimbili sikufika ila nmezunguka kwenye hizi privateHospitali ulizo zunguka Ni za kata wilaya mkoa? Au Hadi Rufaa ya Taifa MUHIMBILI?
AsanteMpelekeni kwa mtaalamu wa mfumo wa chakula ikiwezekana afanyiwe kipimo cha OGD, ikishindikana daktari wa PUA/KOO/SIKIO atamaliza ....anaweza kuwa na Gastro Esophageal Reflux disease, KUMBUKA ukifika kwa daktari unapaswa umwambie unavosumbuka ama kujiskia hii ni nyenzo muhimu sana dr kufikia kufahamu unaumwa, Tofauti na wagonjwa wa siku hizi hutaka kujifanya anajua na kuanza kusuggest kipimo ama dawa..
Nenda hospitali ya RUFAA ya mkoa Kisha upate Rufaa ya kwenda Muhimbili au njoo BENJAMIN MKAPA DODOMAMuhimbili sikufika ila nmezunguka kwenye hizi private
Hizi private hospitalHospitali ulizo zunguka Ni za kata wilaya mkoa? Au Hadi Rufaa ya Taifa MUHIMBILI?
Ana kula vizur na anameza vizur na hata akila hamna maumivu ila akikaa anahisi panawaka motoKuzunguka kila Hosp Sio Shida..
Vipi anashindwa kabisa kumeza au anameza kwa maumivu... (Maji au Ugali)
Mmepima ultrasound na kipimo cha Vidonda vya tumbo cha kumeza?
Alipewa matibabu gani mwanzo?
Sio mafindofindo yanayosababishwa na unywaji wa vinywaji baridi kweli??!Mkuu Mimi Nina mama angu Anasumbuliwa na Koo anadai panauma Kama panawaka Moto saa nyingine anahisi Kama panashimo kubwa na akila au akinywa hapaumi ila akitulia ndo anasikia maumivu tumezunguka kila Aina ya Hospital wanachodai ni vidonda vya tumbo msaada wenu please ....
Hapana mkuu hospital wanasema Hana tatizoSio mafindofindo yanayosababishwa na unywaji wa vinywaji baridi kweli??!
Sent using Jamii Forums mobile app