Karibu saaaaaaaaaaaana mgeni. usijali utakuwa mwenyeji punde tu, usisahau kusoma kanuni za hapa jamvini mkuu. Karibu tuendelee na kujadili mambo yanayohusu mustakabali wa nchi yetu hii ambayo mafisadi wameigeuza shamba la bibi kana kwamba haina mwenyewe.