Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu watanzania,
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627