Hili ndilo tatizo lenu CHADEMA, hata huko TwitterUnashabikia ukweli upi mpuuzi tu wewe? Utakwenda kaburini bila hata kuwa katibu kata. Wanafiki tu ninyi!
Kama huu uzi.... Ni propaganda uchwara.Kama zipi?
Siyo propaganda Bali Ni ukweli wa wazi kabisa ,kwa Sasa mitaani mtu anaona aibu Kuvaa magwanda ya Chadema maana inaonekana Ni chama Cha kihuni tu,kutokana na Tabia ya wafuasi wake kutukana matusi hovyo Kama watu waliokatika mishipa ya fahamuKama huu uzi.... Ni propaganda uchwara.
Wewe hujui kwamba mashambulizi hupangwa na kwamba wapinzani wanajipanga kuweza kushambulia kistratergy. Kama Chadema haikufa enzi za Magufuli basi haitakufa siku za karibuni.Ndugu zangu watanzania,
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Hakuna mashambulizi yoyote ya kihoja utayasikia kutoka kwa chadema,labda mashambulizi ya matusi ndio hawana mpinzani kwa Hilo,Wewe hujui kwamba mashambulizi hupangwa na kwamba wapinzani wanajipanga kuweza kushambulia kistratergy. Kama Chadema haikufa enzi za Magufuli basi haitakufa siku za karibuni.
Hamtapata mtu wakuja kusikiliza mimatusi yenu
Ndugu zangu watanzania,
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Hakuna chama hapo wewe,Angalia chadema inazungumzwaje kwa Sasa,Wewe kweli una tatizo. Kuna nyuzi kumi leo zinaongelea CHADEMA wa kwako ni wa kumi na moja. Sasa imezimaje?
Siasa za chama zinazozimika haziwezi kuwa topic za mijadala kutoka kwa wapinzani wa hicho chama, vyama ambavyo siasa zake zimezimika/zinazimika huwa havianzishiwi threads humu labda ikifika wakati wa uchaguzi.Ndugu zangu watanzania,
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Kwaiyo ile sio ofisi we ni tairah kweliChama gani kinakosa ofisi halafu useme Ni chama makini? Huoni kuwa Ni chama kinachoendeshwa kihuni huni? Kwa hiyo watu wakitaka kuonana na viongozi wenu watawakuta wapi? Embu acheni ubabaishaji wenu
Ile siyo ofisi Bali Ni Kama pagala lisilo kaliwa na chochoteKwaiyo ile sio ofisi we ni tairah kweli
upinzani wa miaka hiyo kurudi si rahisiNdugu zangu watanzania,
Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda, waliingia na kupanda majukwaani bila hoja za kugusa maisha ya Watanzania.
Chadema waliingia na kukurupukia majukwaani kwa kuwekeza kwa watu binafsi badala ya ajenda na Sera za kugusa maisha ya watu, waliwekeza katika mapokezi ya viongozi wao kana kwamba ndio Mahitaji ya watanzania, hakuna walichozungumza kilichoteka hisia za Watanzania, Hakuna Sera waliyokuja nayo iliyo weka mijadala mitaani.
Sasa Chadema wamekataliwa mitaani na mioyoni mwa watanzania,wamepuuzwa na kukimbiwa na watanzania,wamebaki hawana pumzi tena, habari zao zimeyeyuka kama mshumaa,wamebaki watu wa kuunga unga na kuokoteza vihabari, wamebaki watu wa kupiga vipicha Kama watalii, wamebaki Ni watu waliokata Tamaa na kupoteza matumaini ya kisiasa, hawaamini kilichowatokea, hata mikutano imeshindikana Kuendelea na kufanyika maana walizoea ujanja ujanja na ubabaishaji kwa miaka mingi.
Hawaaminiki na yeyote, hawakubaliki na kundi lolote, hawasikilizwi kokote Wala hawaungwi mkono na yeyote mwenye Akili Timamu, Watanzania Walishapoteza Imani juu Yao,hawawaamini Tena, safu yao ya kiuongozi Hakuna mwenye kuiamini wala kuisikiliza wala kuiheshimu Wala kuwafuatilia mambo yao, ni chama kilicho bakia hewani kwa sasa maana hakina mizizi katika kundi lolote Wala uungwaji mkono kutoka kokote.
Huo ni mwanzo tu maana kipigo chenyewe Ni mwakani na mwaka kesho kutwa ambapo watakwenda kuvuna aibu ya Karne pale watakapokutana na kupambana na CCM hii iliyo imara na madhubuti kuwahi kutokea na inayokubalika na kila mtanzania na kila kundi ikiwepo viongozi wao, pona yao labda wakimbie uwanjani kwa visababu vya kuokoteza, mbali na hapo lazima chadema wakafundishwe kuwa siasa ni sayansi na CCM Ni chama kilichojaa wanasayansi wabobezi na nguli wa mikakati.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Nakuunga mkono mkuu , Huo ndio ukwelii mchungu ambao watake wasitake utabaki kuwa ukweliupinzani wa miaka hiyo kurudi si rahisi
Anashangaza kweli huyu Lucas mwashambwaUnasema habari za chadema zimezima wakati kila uzi humu JamiiForums unahusu chadema ikiwa ni pamoja na huu wa kwako?!
Wana hasira Kali Sana baada ya kukataliwa na watanzaniaHili ndilo tatizo lenu CHADEMA, hata huko Twitter
Mnajaza comments za kashfa na Matusi badala ya kujibu hoja kwa ustaarabu
Haya, ngoja tuone Matusi yatawafikisha wapi
Kila kichaka cha kuzuia mikutano ya kisiasa hakipo tena wamebaki tu wanaongea ongea kwa kuwa hawana helaKuna kaukweli. [emoji848]
Nadhani wanatumia nguvu kubwa kuendelea kupambana na marehemu.
Ooo alikuwa hivi ikawa vile. sasa itasaidia nini mtu kashazikwa.
Ni kama hawana mipango. Yaani kuruhusiwa mikutano imekuwa kama kaburi la kuwazikia. maana awali kulikuwa na kichaka cha kuzuiliwa mikutano.
Great thinker!.Duh...!. Kiukweli kabisa mimi sina level yoyote humu, nikipenda bandiko lolote kwa hoja yake, nachangia hoja bila kujali aliyepandisha bandiko ni nani!. Ninachoangalia mimi ni hoja tuu iliyo mezani bila kujali imeandikwa na nani!.
P
Alafu mnataka watu wawafuatilie kwa akili kama hizo.Si ndio vizuri ili CCM ipate uwanja wa kutamba mbona hamueleweki mnakua kama wanawake wauza baa na ku.ma hapo hapo.
Hawakuwa na Ajenda Mahsusi!! Walikuwa na Ajenda mbili tu:Huo ndio ukweli japo Ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe kuwa kwa Sasa Chadema Imepoteza muelekeo na dira,Imepoteza ushawishi kwa watanzania,hakuna anayeiamini chadema kwa Sasa maana kila mtu anatambua kuwa Ni wababaishaji tu na wasaka tonge