Habari za hivi punde

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
*BREAKING NEWS!* _*Nimefatilia taarifa ya press mpya MAKONDA juu ya UNGALIMITED arusha ni kwamba lema na jaji mkuu kifo cha yule dada aliyesema kabakwa hadi kufa ni kwmb diamond plutnum ndo msanii bora kwa sasa tz hayo aliyasema ozil wakati anafunga goli dhidi ya hardware za kusambaza mchanga kwenye uchaguzi wa kumtafuta miss wa korosho husaidia mtu aoge kwenye gari ambalo halina laptop zenye ukubwa wa chai ya maziwa yenye barabara za kwenda calculator maji makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta matairi ya kifaru cha mwinuko wa bahari kwenye ukuta wa maji. Sawa?*_ [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Madhara ya kusoma sana.
 
Una wazimu bila shakaa..!

Ama umedata labda niulize unatumia mtandao??? Maana kudata ni lazima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana serikali inapambana na matumizi ya viroba na madawa ya kulevya.
 
Halafu uzi huu utaenda mbali sana, maana wengine wameanza ku quote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…