incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Madhara ya kusoma sana.*BREAKING NEWS!* _*Nimefatilia taarifa ya press mpya MAKONDA juu ya UNGALIMITED arusha ni kwamba lema na jaji mkuu kifo cha yule dada aliyesema kabakwa hadi kufa ni kwmb diamond plutnum ndo msanii bora kwa sasa tz hayo aliyasema ozil wakati anafunga goli dhidi ya hardware za kusambaza mchanga kwenye uchaguzi wa kumtafuta miss wa korosho husaidia mtu aoge kwenye gari ambalo halina laptop zenye ukubwa wa chai ya maziwa yenye barabara za kwenda calculator maji makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta matairi ya kifaru cha mwinuko wa bahari kwenye ukuta wa maji. Sawa?*_ [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana serikali inapambana na matumizi ya viroba na madawa ya kulevya.*BREAKING NEWS!* _*Nimefatilia taarifa ya press mpya MAKONDA juu ya UNGALIMITED arusha ni kwamba lema na jaji mkuu kifo cha yule dada aliyesema kabakwa hadi kufa ni kwmb diamond plutnum ndo msanii bora kwa sasa tz hayo aliyasema ozil wakati anafunga goli dhidi ya hardware za kusambaza mchanga kwenye uchaguzi wa kumtafuta miss wa korosho husaidia mtu aoge kwenye gari ambalo halina laptop zenye ukubwa wa chai ya maziwa yenye barabara za kwenda calculator maji makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta matairi ya kifaru cha mwinuko wa bahari kwenye ukuta wa maji. Sawa?*_ [emoji23][emoji23][emoji23]
Madawa ndo yanapoteaMadhara ya kusoma sana.
Kwa kosa gani mkuu??Hakyamungu Mungu Akusamehe Tuu.....![emoji134]