Habari za Kifo cha Magufuli zilivyonifikia nikiwa Gerezani

Nyumba niliyokuwa nimepanga kipindi kile cha moshi wa Luangwa mama mwenye nyumba alichinja mbuzi tukala.
 
Aisee hii siku nakumbuka nilikwenda kumtembelea rafiki yangu udom. kiukweli usiku hule wanachuo wa udom walishangilia na kuzimia kama afisa habari kiukweli
 
R.I.P Ben Saanane.

Ninashukuru UVIKO wimbi la pili kwa kumfyekelea mbali yule mwendawazimu bila machafuko wala magenge ya waasi.
 
Punguza utoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ