Soma sura hizi
1.Sura Albaqara aya za mwisho mwisho sikumbuki exactly lakini kama 6 pages kabla sura haijaisha inaelezea jinsi Nabii Daudi alivyomuua Jaluti (Goliat)
2. Soma Surat Al Anbiyaa kuna aya zinaeleza mitume kadhaa akiwemo Daudi na Suleiman
3. Soma Surat An Naml hii imeelezea kwa kirefu kuhusu Mfalme Suleiman na Daudi
4. Soma Surat Saad kuna sehemu ametajwa Nabii Daudi
5. Soma Surat Sabaa pia imetaja habari za Nabii Daud
Na Sura zingine pia zimetaja japo kwa uchache.
Namuomba Mwenyezi Mungu atuongoze wote katika njia iliyo sahihi. Amina