Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Jan 11, 2011 #1 ITV hivi sasa wameimprovu katika taarifa zao za habari, na hasa habari za michezo, sio kama zamani ambapo habari zilizotawala zilikuwa za michezo ya mchangani!
ITV hivi sasa wameimprovu katika taarifa zao za habari, na hasa habari za michezo, sio kama zamani ambapo habari zilizotawala zilikuwa za michezo ya mchangani!
M Mafuluto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2009 Posts 1,861 Reaction score 859 Jan 11, 2011 #2 Dah mkuu si ungetoa mfano au details zaidi. Nilitegemea mengi but where..... 🙂