ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Nimejaa hasira nashindwa kujua tatizo nini hasa kwa kua tumefanya wote uandikishaji wa awamu ya pili cha kushangaza vimerudi vya wale ambao hawakuwahi kujiandikisha wala kua na vitambulisho.
Note:-
Kwa nini nimelalamika kwa hilo ?
Ni kwasababu ukitumia kitambulisho cha awamu ya kwanza kabisa kusajilia laini, unaambiwa hakitumiki.
Na kwa nini inaonesha hakitumiki ?
Ni kwasababu namba ya kitambulisho hicho tayari kimefungiwa kwa info za awamu ya pili.
Swali :-
Wale ambao hatujapata vya awamu ya pili watatupatia lini vitambulisho hivyo, angali bado tuna vile vya awamu ya kwanza ambavyo nisawa na nothing kua nacho ?
Note:-
Kwa nini nimelalamika kwa hilo ?
Ni kwasababu ukitumia kitambulisho cha awamu ya kwanza kabisa kusajilia laini, unaambiwa hakitumiki.
Na kwa nini inaonesha hakitumiki ?
Ni kwasababu namba ya kitambulisho hicho tayari kimefungiwa kwa info za awamu ya pili.
Swali :-
Wale ambao hatujapata vya awamu ya pili watatupatia lini vitambulisho hivyo, angali bado tuna vile vya awamu ya kwanza ambavyo nisawa na nothing kua nacho ?