Habari za P Diddy mmezijuaje na hata Kiingereza kusoma na kukuielewa hamjui?

Habari za P Diddy mmezijuaje na hata Kiingereza kusoma na kukuielewa hamjui?

Wewe mzungu , sasa hautaki tupate stories kwenye vijiwe vyetu vya kahawa kupoteza mda kama ilivyo jadi yetu waswahili?
 
Ukipita mitaani utakuta wanamjadili p didy.

Sasa nyie waswahili mnawezaje kufahamu mambo ya marekani huku kiingereza hamjui .

Je mmesoma makala ngapi ?

Je mnaweza hata kusikiliza interview ya P didy mkajua alichokuwa anaongea?
Tumesimuliwa
 
Ukipita mitaani utakuta wanamjadili p didy.

Sasa nyie waswahili mnawezaje kufahamu mambo ya marekani huku kiingereza hamjui .

Je mmesoma makala ngapi ?

Je mnaweza hata kusikiliza interview ya P didy mkajua alichokuwa anaongea?
Tanxania nzima we peke yako ndo umesoma shule na unaelewa kingereza?
 
Kama mziki wake watu wanauimba washindwe kuelewakama mwamba yuko matatizoni.
Umbeya hauna posho wengine tunashadidia tu kama wambeya wengine

Kwani yule kijili huwa anamuelewa kocha wa simba lugha anayoongea
 
Hii
Ukipita mitaani utakuta wanamjadili p didy.

Sasa nyie waswahili mnawezaje kufahamu mambo ya marekani huku kiingereza hamjui .

Je mmesoma makala ngapi ?

Je mnaweza hata kusikiliza interview ya P didy mkajua alichokuwa anaongea?
😂😂Hii nchi mna viswaswadu sasa wamejuaje kama mondi kabanangwa au ndio mnataka kumuharibia CV
 
Ukipita mitaani utakuta wanamjadili p didy.

Sasa nyie waswahili mnawezaje kufahamu mambo ya marekani huku kiingereza hamjui .

Je mmesoma makala ngapi ?

Je mnaweza hata kusikiliza interview ya P didy mkajua alichokuwa anaongea?
Waswahili hao si wa kizazi cha 1960s anymore, wameenda shule wengi sana. Wengi graduates wanachaje kuelewa?
 
Back
Top Bottom