tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 Feb 14, 2012 #1 Kama unatafuta viumba kwenye nyumba za kulala wageni vimejaa Dsm yote. Hivyo jeshi limeweka mahema uwanja wa taifa.
Kama unatafuta viumba kwenye nyumba za kulala wageni vimejaa Dsm yote. Hivyo jeshi limeweka mahema uwanja wa taifa.
Mzalendo80 JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 2,509 Reaction score 1,340 Feb 14, 2012 #2 tz1 said: Kama unatafuta viumba kwenye nyumba za kulala wageni vimejaa Dsm yote. Hivyo jeshi limeweka mahema uwanja wa taifa. Click to expand... Nendeni mkalale polisi, mnataka kulala hotelini kwani vibanda vyenu vya mabati pia vimejaa? Mkiweka mahema kama wakimbizi tutakuja kuwapigeni mawe usiku, wapumbavu wakumbwa nyie. Hamna tofauti na Mafisadi kwa kupenda 10% za rushwa.
tz1 said: Kama unatafuta viumba kwenye nyumba za kulala wageni vimejaa Dsm yote. Hivyo jeshi limeweka mahema uwanja wa taifa. Click to expand... Nendeni mkalale polisi, mnataka kulala hotelini kwani vibanda vyenu vya mabati pia vimejaa? Mkiweka mahema kama wakimbizi tutakuja kuwapigeni mawe usiku, wapumbavu wakumbwa nyie. Hamna tofauti na Mafisadi kwa kupenda 10% za rushwa.
cartura JF-Expert Member Joined Aug 13, 2009 Posts 3,026 Reaction score 789 Feb 14, 2012 #3 yote hii ni kwa ajili ya kuchakuana siku ya wapendanao au mamlaka ya hali ya hewa imetoa tafadhali ya mafuriko kwa wanaoishi mabondeni teh teh teh..
yote hii ni kwa ajili ya kuchakuana siku ya wapendanao au mamlaka ya hali ya hewa imetoa tafadhali ya mafuriko kwa wanaoishi mabondeni teh teh teh..