Habari za wasanii, mastaa na magazeti ya shigongo.

Habari za wasanii, mastaa na magazeti ya shigongo.

GNA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
246
Reaction score
72
Ndugu zangu watanzania, naomba tubadilike. Kunamtu anaitwa Shigongo, yeye na magazeti yake wanacho fanya ni kucheza na akili za watu huku akitengeneza hela nyingi sana, kwa watu hao ambao hawapendi kuumiza kichwa kidogo, Linapotokea tatizo kwa mtu maarufu hutafuta namna ya kupamba magazeti yake kusiko na ukweli wa hiyo taarifa, mfano kesho au leo au kesho kutwa kutokana na kifo cha Sajuki magazeti yake yataandika heading zenye maneno kama, MANENO YA MWISHO ALIYOYASEMA SAJUKI KABLA YA UMAUTI, AU MAMBO KUMI USIYOYAJUA YA SAJUKI, AU SAJUKIKI NI FREEMASON?, AU UNAJUA UHUSIANO KATI YA SAJUKI NA MKEWE SIKU ZA KULAZWA KWA SAJUKI, AU SIRI NZITO ALIYOYANAYO DAKTARI ALIYE MUHUDUMIA SAJUKI KWABLA YA UMAUTI, tuachwe kudanganywa.
 
Ndugu yangu ulisha sikia msemo wa serikali ya mtu ni kichwa chake? Shigongo is very right and interprising. Kama soko lipo( la wateja wake) kutolitumia utakuwa ni wendawazim. Kumbuka yeye hawa hausiki katika kutofikilia kwa wateja wake. Ukiona manyoya ujue kaliwa, pia ukiona magazeti yake yanaisha ujue that is what people want to hear.Mwachen mjasiriaia mali
 
Ndugu yangu ulisha sikia msemo wa serikali ya mtu ni kichwa chake? Shigongo is very right and interprising. Kama soko lipo( la wateja wake) kutolitumia utakuwa ni wendawazim. Kumbuka yeye hawa hausiki katika kutofikilia kwa wateja wake. Ukiona manyoya ujue kaliwa, pia ukiona magazeti yake yanaisha ujue that is what people want to hear.Mwachen mjasiriaia mali
Nailed it... ndo ujue watanganyika tunavyopenda vitu duni bila fikra...
 
asante sana kwa kuliona
hilo.jamaa anajua kuflow na
uzuzu wa wadanganyika.
ILA KWA MTAZAMO WANGU TUSIANGALIE WAPI TULIPOANGUKA BALI TUJIULIZE
NI WAPI TULIPOJIKWA.
 
Lakini bado tu watu wananunua tena kwa wingi hahahahaha
 
Back
Top Bottom